Home Makala Mtanzania Mwingine Atua Genk Akiwa Mrithi Wa Samatta

Mtanzania Mwingine Atua Genk Akiwa Mrithi Wa Samatta

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji chipukizi wa Tanzania Kelvin John ‘Mbappe’ ambaye anaichezea timu ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 Ngorongoro Heroes ya Tanzania amejiunga rami na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji ambayo nahodha wa timu ya taifa Tanzania Mbwana Samatta alikuwa akicheza.

Kelvin John amekuwa mrithi wa nafasi ya Samatta baada ya nahodha huyo kujiunga na Aston Villa inayoshiriki ligi kuu ya Uingereza.

Meneja wa mchezaji huyo Mbaki Muhataba amesema kuwa uongozi wa Genk umevutiwa na uwezo aliokuwa nao kijana huyo na anasubiriwa afikishe  miaka 18 mwaka huu pia amalizie masomo yake katika chuo cha Brooke House nchini Uingereza.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited