Home Makala Mtanzania Mwingine Atua Ufaransa

Mtanzania Mwingine Atua Ufaransa

by Sports Leo
0 comments

Mtanzani Tepsi Evance Theonasy kutoka Cambiasso Sports aliyekuwa akichezea timu ya vijana chini ya umri wa miaka 20 Azam Fc na Ngorongoro Heroes amewasili Ufaransa katika klabu ya FC Nantes kwa ajili ya kukuzwa kisoka hadi atakapotimiza miaka 18 mwaka huu.

Tepsi alichukuliwa katika Clinic ya Cambiasso Sports na Rainbow Sports mwishoni Novemba 2019 uwanja wa Uhuru akiwa chini ya scout maarufu kutoka Rainbow Sport ,Alex Morfaw.

Baada ya mchezaji huyo kutimiza miaka 18 atasajiliwa rasmi na timu ya wakubwa Fc Nantes ambayo ni miongoni mwa klabu zinazoshiriki ligi kuu nchini Ufaransa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited