Baada ya kuambulia kipigo cha mabao 5-0 timu ya Mtibwa Sugar imekubali kuwa ilizidiwa kimchezo na wekundu hao wa Msimbazi.
Simba iliifunga Mtibwa mabao hayo matano huku ikicheza kwa kiwango kikubwa sana huku wakitoa burudani kwa mashabiki wake.
Kocha wa Mtibwa Sugar alikiri kuzidiwa kimbinu na Simba sc huku akitaja kuwa wachezaji wake 8 walikua kwenye mfungo wa mwezi wa Ramadhani hivyo kuzidiwa kwa kikosi chake kilikua kitu alichokitarajia.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
Mabao ya Simba sc yalifungwa na Meddie Kagere,Rally Bwallya na Cletous Chama.