Home Makala Mtibwa Wakubali 5g ya Simba sc

Mtibwa Wakubali 5g ya Simba sc

by Sports Leo
0 comments

Baada ya kuambulia kipigo cha mabao 5-0 timu ya Mtibwa Sugar imekubali kuwa ilizidiwa kimchezo na wekundu hao wa Msimbazi.

Simba iliifunga Mtibwa mabao hayo matano huku ikicheza kwa kiwango kikubwa sana huku wakitoa burudani kwa mashabiki wake.

Kocha wa Mtibwa Sugar alikiri kuzidiwa kimbinu na Simba sc huku akitaja kuwa wachezaji wake 8 walikua kwenye mfungo wa mwezi wa Ramadhani hivyo kuzidiwa kwa kikosi chake kilikua kitu alichokitarajia.

banner

Mabao ya Simba sc yalifungwa na Meddie Kagere,Rally Bwallya na Cletous Chama.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited