Home Makala Mwanamichezo Na Corona

Mwanamichezo Na Corona

by Sports Leo
0 comments

Mwanamama Isabella ambaye ni shabiki mkubwa wa michezo ndiye wa kwanza kugundulika na virusi vya Corona katika ardhi ya Tanzania akitua kwenye uwanja wa KIA siku ya Jumapili 15 March,2020.

Isabella amesema kuwa kwa sasa anaendelea vizuri baada ya kugundulika ana Corona, hivyo tumuombee apone haraka arejee kwenye ubora wake.

“Nilihisi nina virusi vya Corona baada ya kutoka Ubelgiji kwa kuwa virusi hivyo vilishaenea huko na hata baba mwenye nyumba wangu nilipofikia alikuwa tayari ameshaathirika”alisema Isabella

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited