Mwanamama Isabella ambaye ni shabiki mkubwa wa michezo ndiye wa kwanza kugundulika na virusi vya Corona katika ardhi ya Tanzania akitua kwenye uwanja wa KIA siku ya Jumapili 15 March,2020.
Isabella amesema kuwa kwa sasa anaendelea vizuri baada ya kugundulika ana Corona, hivyo tumuombee apone haraka arejee kwenye ubora wake.
“Nilihisi nina virusi vya Corona baada ya kutoka Ubelgiji kwa kuwa virusi hivyo vilishaenea huko na hata baba mwenye nyumba wangu nilipofikia alikuwa tayari ameshaathirika”alisema Isabella
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.