Home Makala Namungo Kujiandaa Dhidi Ya Mbao Fc

Namungo Kujiandaa Dhidi Ya Mbao Fc

by Dennis Msotwa
0 comments

Timu ya Namungo iliyovunja rekodi ya  Tanzania Prisons kwa kuwapa kichapo cha mabao 3-2 kwenye mchezo  wa ligi imejiandaa kuwapa dozi Mbao Fc kwenye mchezo ujao wa ligi kuu nchini.

Kocha mkuu wa Namungo Hitimana Thiery alisema kuwa watakuwa na mchezo kwanza wa kombe la FA na Biashara United kisha zamu ya Mbao Fc na Alliance Fc itafata katika uwanja wao wa nyumbani hivyo wanaahidi kufanya vizuri ili kupata matokeo mazuri.

Namungo itapambana na Mbao Fc katika uwanja wa Majaliwa siku ya Jumamosi 1 Februari,2020.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited