Home Makala Nimeikumbuka Familia Yangu-Da Silva

Nimeikumbuka Familia Yangu-Da Silva

by Sports Leo
0 comments

Raia wa Brazil ,Willian Borges da Silva ambaye ni mchezaji katika timu ya Chelsea amewaomba mabosi wake ruhusa ya kuondoka London na kuifuata familia yake nchini Brazil.

Da Silva mwenye miaka 31 amesema kwa sasa ameikumbuka familia yake , hali ya kuwa mpweke muda mrefu imemchosha jambo linalomfanya aikumbuke familia yake.

“Nimekaa mbali na familia kwa muda mrefu, mimi nipo London kwa sasa familia yangu ipo Brazil nahitaji kwenda kuiona na kuwa karibu nao hali ya upweke inaumiza,” alisema Willian

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited