Kiungo anayecheza ndani ya klabu ya Yanga ,Haruna Niyonzima ameamua kuongeza mke wa pili ikiwa ni mwezi wa Ramadhani.
Niyonzima ameamua kufunga ndooa hiyo kimya kimya na mwanadada aitwaiye Cassandra Rayan.
Juma Abdul ambaye ni nahodha wa Yanga ndiye alikuwa msimamizi wake wakati ndoa hiyo ikifungwa kwa wawili hao.