Home Makala Nyota Wa Real Madrid Avunjika

Nyota Wa Real Madrid Avunjika

by Sports Leo
0 comments

Nyota wa Real Madrid ,Luka Jovic atakosekana katika mazoezi ya pamoja ya timu yake ikirejea katika maandalizi ya kumalizia msimu huu kwani amethibitisha kuvunjika mfupa katika mguu wake wakati akifanya mazoezi binafsi nyumbani kwake siku ya Alhamisi.

Real Madrid wanajiandaa kuanza mazoezi rasmi siku ya Jumatatu kwa ajili ya kusubiri kurejea kwa ligi kuu Hispani,La Liga 2019/2020 kwa kufuata taratibu zote za kiafya wakiwa mazoezini ili kuepukana na virusi vya Corona.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited