Nyota wa Real Madrid ,Luka Jovic atakosekana katika mazoezi ya pamoja ya timu yake ikirejea katika maandalizi ya kumalizia msimu huu kwani amethibitisha kuvunjika mfupa katika mguu wake wakati akifanya mazoezi binafsi nyumbani kwake siku ya Alhamisi.
Real Madrid wanajiandaa kuanza mazoezi rasmi siku ya Jumatatu kwa ajili ya kusubiri kurejea kwa ligi kuu Hispani,La Liga 2019/2020 kwa kufuata taratibu zote za kiafya wakiwa mazoezini ili kuepukana na virusi vya Corona.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.