Home Makala Pierre Ajifunga Miaka Mitano Tottenham

Pierre Ajifunga Miaka Mitano Tottenham

by Sports Leo
0 comments

Tottenham Hotspurs  imekamilisha usajili wa kiungo Pierre-Emile Hojbjerg kutoka Southampton kwa dili la miaka mitano baada ya utaratibu wa vipimo kukamilika.

Pierre amejiunga na klabu hiyo kwa dau la thamani ya milioni 20 kuitumikia timu hiyo akitokea Southampton akiwa na umri wa miaka 25.

Tottenham imemkabidhi jezi namba tano nyota huyo ambayo ataitumia msimu ujao wa 2020/21 kwenye Ligi Kuu England.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited