Home Makala Pogba Mpaka Desemba

Pogba Mpaka Desemba

by Sports Leo
0 comments

Staa wa klabu ya Manchester united Paul Pogba atakuwa nje ya uwanja mpaka mwezi desemba mwaka huu baada ya kupata jeraha la kifundo cha mguu mwezi augosti wakati wa mchezo dhidi ya Southampton.

Akiongea na waandishi wa habari kocha Olle Gunnar Solskjaer amethibitisha kukosekana kwa kiungo huyo mpaka mwishoni mwa mwaka kufuatia kushindwa kupona majeraha yake hayo licha ya kuhudhuria kliniki ya matibabu Dubai mwezi uliopita.

“Sidhani kama tutamuona mapema kabla ya desemba kwani atakua nje ya uwanja kwa siku kadhaa anatakiwa kupata muda wa kupona kabisa”.

banner

Solskajaer

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited