Home Makala Pongezi Kwa Madaktari,Luiz

Pongezi Kwa Madaktari,Luiz

by Dennis Msotwa
0 comments

Beki wa kati wa Arsenal ,David Luiz anaamini kuwa Kwenye mapambano ya virusi vya Corona kuna umuhimu wa kuwakumbuka wataalamu wa masuala ya afya kwani wamekuwa wakifanya mambo makubwa na wakati mwingine wakiwa Kwenye hatari wanapambana katika kazi yao kuhakikisha usalama unapatika kwa wagonjwa.

Luiz amesema kuwa watu wa afya wamekuwa wakijitolea kwenye mambo mengi bila kujali matokeo kwao japo ni ugonjwa hatari na uwezekano wa wao kuupata upo mikononi mwao.

“Kitu muhimu ni kuwaombea kwani  wanajihatarisha na hawachoki katika kazi yao, nasi ni lazima kuchukua tahadhari, “alisema Luiz

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited