Rais wa klabu ya Olympique Lyon ,Jan Michael Aulas amewambia wachezaji wote wa timu hiyo kufikia ijumaa mchezaji yeyote aliepo kwenye timu hiyo anayetaka kuondoka aondoke kabla ya siku hiyo.
Hii ni kwa wachezaji walioomaliza mikataba yao ndani ya Lyon na kama hatoondoka basi mchezaji huyo asahau kuondoka katika klabu hiyo kwenye Dirisha hilo kubwa la usajili lililofunguliwa Septemba ,2 mwaka huu.
Rais huyo anafanya hivyo ili kuwafanya Arsenal na Barcelona Wanaowataka Houssam Auor na Memphis Depay kuongeza kasi kwenye kukamilisha madili ya kuwachukua nyota hao.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.