Home Makala Raja Casablanca Kumtajirisha Msuva

Raja Casablanca Kumtajirisha Msuva

by Sports Leo
0 comments

Wachezaji wa klabu ya Wydad Casablanca watapata karibu $ 4,500 [zaidi ya Sh mil 10] KILA MMOJA ikiwa watashinda mechi yao dhidi ya wapinzani wao wakubwa Raja Casablanca katika Casablanca Derby Jumapili hii ya tarehe 21 Machi 2021 huko kwenye Ligi Kuu ya Morocco maarufu kama Botola Pro.

Mechi hiyo ya wapinzani wa jadi inatajwa kuwa na mvuto nchini humo na barani Afrika huku watu wengi nchini Tanzania wakifuatilia kutokana na uwepo wa staa huyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited