Rasmi:Aussems Atimuliwa Simba
previous post
Sasa rasmi klabu ya simba imeachana na kocha Patrick Aussems baada ya kuifundisha timu hiyo kwa msimu mmoja na nusu.Barua rasmi kutoka simba inasomeka kama ifuatavyo..
mwandishi wa habari hizi ana taaluma ya habari na mawasiliano kutoka chuo kikuu cha saut mwanza huku akiwa na uzoefu wa kuandika habari za michezo kwa zaidi ya miaka saba sasa.
Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited