Wachezaji wa Real Madrid wanatazamiwa kuanza mazoezi Mei 11 mwaka huu ambapo yatakuwa mazoezi binfasi yatafanyika chini ya uangalizi maalum huku yakiwa ni wachezaji na makocha wachache.
Wachezaji mbalimbali wa La Liga wanatarajiwa kupimwa afya zao wiki ijayo kuonekana kama hawana maambukizi ya corona na kuhakikisha kila mmoja anakuwa salama kuanzia wachezaji hadi makocha kabla ya kuanza mazoezi ya pamoja na kucheza michezo ya La Liga.
Real Madrid watafanya mazoezi yao rasmi siku hiyo ya Jumatatu ya 11 Mai, kwenye viwanja vyao vya mazoezi vijulikanavyo kama Valdebebas.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.