Home Makala Ronaldo Akaribia 100

Ronaldo Akaribia 100

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji nyota wa timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo, amefikisha idadi ya magoli 98 katika timu yake ya taifa pamoja na hat-trick 9 katika timu hiyo.

Nyota huyo jana usiku alifunga magoli matatu katika ushindi wa 6-0 dhidi ya timu ya taifa ya Lithuania, katika mchezo wa kundi B kufuzu michuano ya Euro.

Hii ni hat-trick ya 55 katika maisha yake ya soka huku akiwa ameichezea Ureno jumla ya mechi  37 na kufunga mabao 38 tangu afikishe miaka 31 huku akifunga mabao  55 katika michezo 123 hapo kabla.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited