Home Makala Ronaldo kinara kwa mkwanja duniani

Ronaldo kinara kwa mkwanja duniani

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa Manchester United Cristiano ametajwa na jarida la tafiti ya masuala ya kiuchumi la Forbes kuwa ndiye mchezaji anayelipwa zaidi duniani kwasasa akiingiza kiasi cha dola za Kimarekani milioni 125 kwa mwaka.

Ronaldo anapata dola milioni 70 kupitia kama mshahara na bonasi kwenye timu anayochezea wake na kiasi cha dola milioni 55 kupitia mikataba ya kibiashara aliyoingia na makampuni binafsi.

Mshindani wake wa muda mrefu Lionel Messi anashika nafasi ya pili akiingiza dola milioni 11o kupitia mshahara na mikataba ya kibiashara huku Mbrazil Neymar akifunga tatu bora ya wanasoka wenye waliopata mkwanja mrefu 2021 akijichotea dola milioni 95.

banner

Mohamed Salah anaongoza kwa wanasoka kutoka Afrika akiingiza dola milioni 41 kwa mwaka huku akishika nafasi ya 5 duniani.

Ifuatayo ni orodha ya wanandinga 10 duniani walioingiza mkwanja mrefu kwa mwaka 2021.

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited