Home Makala Ronaldo Kufikisha Mabao 50 Juventus

Ronaldo Kufikisha Mabao 50 Juventus

by Sports Leo
0 comments

Nyota wa Juventus Christian Ronaldo mwenye umri wa miaka 35 amefikisha jumla ya mabao 50 akiwa kwenye maisha ya soka nchini Italia siku ya Jumapili ambapo ilikuwa ikichuana na Fiorentina ambapo timu yake ilishinda mabao 3-0.

Christian Ronaldo amefikisha mabao hayo 50 baada ya kucheza jumla ya mechi 70 na kumfanya awe nafasi ya pili kwa watupiaji wenye mabao mengi ndani ya muda mfupi huku nafasi ya kwanza ikishikiliwa na Icon wa AC Milan, Andriy Shevchenko aliyetupia mabao 50 baada ya kucheza mechi 69.

R9 Ronarldo, ambaye ni raia wa Brazili anakamata nafasi ya tatu kwa kufikisha mabao 50 kwenye mechi 77 akiwa Inter na majeraha ndio sababu ya kumchelewesha kufikisha mabao hayo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited