Home Makala Saido Ntibazonkiza Kuwakosa Mbeya City

Saido Ntibazonkiza Kuwakosa Mbeya City

by Dennis Msotwa
0 comments

Msafara wa wachezaji,Benchi la ufundi na viongozi unatarajiwa kuelekea jijini Mbeya kesho katika kucheza mchezo wa ligi kuu dhidi ya Mbeya City huku kiungo Saido Ntibazonkiza akishindwa kujumuishwa katika msafara hiyo.

Orodha ya mastaa wa klabu hiyo watakaosafiri imetangazwa huku Mburundi huyo akikosekana kutokana na kuwa majeruhi huku Dickson Job na Yacouba Sogne wakijumuishwa kutokana na kuimarika kwa afya zao.

AbdalaH Shaibu naye ana hatihati ya kukosa mchezo huo kutokana na kusumbuliwa na maralia huku usajili mpya Fiston akiwa miongoni mwa wasafiri kuelekea mchezo huo utakaochezwa tarehe 13 siku ya jumamosi,

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited