43
Licha ya kutumia dakika 84 uwanjani Sukru Saracoglu ,Samatta alitupia mabao hayo dakika ya 24 kwa pasi ya Caner Erkin huku bao la pili akilitupia dakika ya 68.
Nyota huyo mwenye miaka 27 ni mechi yake ya kwanza kuanza kikosi cha kwanza ambapo ile ya kwanza dhidi ya Galatasaray alianzia benchi na alicheza kwa dakika 25 na mechi kumalizika kwa suluhu.