Home Makala Samatta Anukia Uturuki

Samatta Anukia Uturuki

by Sports Leo
0 comments

Mshambualiaji wa kitanzania anayeichezea klabu ya Krc Genk ya Ubeligiji Mbwana Samatta anasakwa na klabu ya Galatasalay ya Uturuki ili kwenda kuiongezea makali safu ya ushambuliaji ya klabu hiyo.

Inaripotiwa kwamba maafisa wa klabu hiyo inayoshiriki ligi kuu ya uturuki wapo nchini ubeligiji kujaribu kufanikisha uhamisho wa mchezaji huyo aliyejiunga na Genk akitokea Tp Mazembe ya Kongo.

Mshambuliaji huyo ameichezea Genk mechi 168 akifunga magoli 68 huku ikidaiwa ana ndoto kutua ligi kuu ya uingereza japo taarifa zinadai mpaka sasa hakuna ofa yeyote rasmi kutoka timu za uingereza ziliwasilishwa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited