Mbwana Samatta amewasili leo kwa ajili ya kujiunga na kambi ya timu ya Taifa ya Tanzania inayojiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Burundi utakaochezwa Oktoba 11 Jumapili kabla ya kuendea wiki ya watani itakayochezwa 18 Octoba,2020 uwanja wa Mkapa.
Nahodha huyo wa kitanzania kwa sasa anakipiga ndani ya klabu ya Fenerbahce ambayo inashiriki Ligi Kuu nchini Uturuki na tayari amecheza mechi mbili akiwa ametupia mabao mawili.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.