Home Makala Samatta Atua Tanzania Leo

Samatta Atua Tanzania Leo

by Dennis Msotwa
0 comments

Mbwana Samatta amewasili leo kwa ajili ya kujiunga na kambi ya timu ya Taifa ya Tanzania inayojiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Burundi utakaochezwa Oktoba 11 Jumapili kabla ya kuendea wiki ya watani itakayochezwa 18 Octoba,2020 uwanja wa Mkapa.

Nahodha huyo wa kitanzania kwa sasa anakipiga ndani ya klabu ya Fenerbahce ambayo inashiriki Ligi Kuu nchini Uturuki na tayari amecheza mechi mbili akiwa ametupia mabao mawili.

Taifa Stars inayonolewa na kocha mkuu ,Etienne Ndayiragije iliangia kambini Oktoba 5 ikiwa tayari kujiweka sawa kwa ajili ya mchezo huo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa Octoba 11.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited