Home Makala Shikhalo Kumpisha Ndalla Yanga sc

Shikhalo Kumpisha Ndalla Yanga sc

by Sports Leo
0 comments

Taarifa kutoka ndani ya klabu ya Yanga zinaeleza kuwa klabu hiyo ipo kwenye mpango wa kuachana na kipa wao raia wa Kenya, Faroukh Shikalo ili kupisha nafasi ya kusajili mchezaji mwingine wa Kimataifa.

Shikalo ameonekana kushindwa kumpa changamoto ya namba, Metacha Mnata ambapo Mkenya huyo mpaka sasa amesimama langoni kwenye mchezo mmoja pekee wa ligi msimu huu dhidi ya Tanzania Prisons ulioisha kwa sare ya bao1-1 mwanzoni mwa ligi.

Shikalo anatajwa kumpisha kiungo wa Plateau United ya Nigeria, Isah Ndala ambapo Yanga tayari wameambiwa dau la kiungo huyo ni Milioni 250 licha ya kukabiliwa na upinzani kutoka kwa Azam Fc.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited