Home Makala Simba Kukabiliana Na Vital’O Simba Day

Simba Kukabiliana Na Vital’O Simba Day

by Sports Leo
0 comments

Siku ya Simba Day wanamsimbazi watasherekea wakiwa uwanja wa Mkapa wakitazama mchezo mkali kati ya Simba Sc na Vital’O ya Burundi siku ya Agosti 22,2020.

Simba Sc imethibitisha kucheza na waburundi hao kupitia ukurasa wao wa instagram huku kabla ya mchezo huo Simba itatangulia kuwatambulisha wachezaji wake watakaoitumikia klabu hiyo kwenye msimu 2020/2021 na ligi ya mabingwa Afrika.

Mpaka sasa timu hiyo imeshasajili wachezaji nane wakiwa ni Benard Morrison,Charles Ilanfya,David Kameta,Joash Onyango,Chris Mugalu,Larry Bwalya na Ibrahim Ame.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited