Home Makala Simba sc Kinara Afrika

Simba sc Kinara Afrika

by Dennis Msotwa
0 comments

Baada ya kufanikiwa kuifunga klabu ya Al ahly ya nchini Misri sasa klabu ya Simba sc imekaa kileleni mwa msimamo wa jumla wa makundi katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika.

Simba sc ambayo awali iliwafunga As vita ugenini 1-0 na jana pia ikaibuka na ushindi kama huo dhidi ya mabingwa wa Afrika Al ahly na kupelekea kujinyakulia alama 6 hivyo kukaa kileleni mwa timu zote 16 zinashirikimichuano hiyo mikubwa barani Afrika.Soma jedwali kamili la msimamo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited