Home Makala Simba sc Yafuzu Kibabe

Simba sc Yafuzu Kibabe

by Sports Leo
0 comments

Simba sc imefanikiwa kufuzu hatua ya makundi ya klabu bingwa barani Afrika huku ikiongoza kundi A baada ya kufanikiwa kuifunga timu ya As Vita kwa mabao 4-1 katika mchezo uliomalizika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es salaam.

Mabao ya Simba sc katika mchezo huo yalifungwa na Cletous Chama,Luis Miqquissone,Larry Bwalya na kufanikiwa kuibuka na ushindi huo huku walikua wakihitaji alama moja kufuzu hatua ya robo fainali.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited