Simba Sc imefanikiwa kutwaa taji la ngao ya jamii leo kwenye mchezo uliochezwa uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Wanamsimbazi hao wametwaa taji hilo baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 mbele ya Namungo Fc ambapo bao la kwanza lilipachikwa na John Bocco kwa mkwaju wa penalti dakika ya 7 baada ya Morrison kuchezewa faulo ndani ya 18.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.