Home Makala Sogne Awasili Tanzania

Sogne Awasili Tanzania

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa Yanga,Yacouba Sogne amewasili Tanzania leo akitokea nchini Burkina Faso ili kuungana na wachezaji wenzake kambini kwa ajili ya maandalizi ya ligi kuu bara inayotarajiwa kuanza Septemba 6.

Sogne amesaini kandarasi ya miaka miwili kuitumikia Yanga Sc katika msimu wa 2020/2021.

Mchezo wa ufunguzi wa Yanga ligi kuu bara utakuwa dhidi ya Tanzania Prisons Septemba 6 uwanja wa Mkapa majira ya saa 1:00 usiku.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited