Home Makala Stars Yatajwa,Wapya Kibao

Stars Yatajwa,Wapya Kibao

by Sports Leo
0 comments

Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania bara (Kilimanjaro stars) kitakachoingia kambini kujiandaa na michuano ya chalenji kimetajwa ambapo majina ya wachezaji wapya wamesheheni.

Kikosi hicho kitakachokua chini ya kocha mkuu Ettiene Ndayiragije kimesheni majina ya mastaa 32 huku pia baadhi ya majina mageni kama Mwita Gereza,Zawadi Mauya na Yusuph Mhilu huku pia Aishi Manula naye akirejeshwa baada ya kutokuwem0 kwa muda.

Kikosi kamili ni>>

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited