Mshambuliaji Tammy Abraham amemwaga wino kuwatumikia watoto wa Papa klabu ya soka ya AS Roma ya Italia kwa mktaba wa miaka mitano hadi 2026 kwa ada ya Euro milioni 40 kutoka Chelsea.
Katika mkataba wake kuna kipengele cha Chelsea kumnunua tena kwa euro milioni 80 itakapofika mwaka 2023 atkapokuwa namefikia nmisimu miwili katika klabu yake hiyo mpya.
Tammy amempisha Mbelgiji Romelu Lukaku aliyejiunga na Chelsea,na amechagua kujiunga na AS Roma baada ya kupigiwa simu na Jose Mourinho na kushawishiwa kwenye mradi mpya wa mabingwa hao wa zamani wa Italia.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.