Home Makala Tammy amfuata Morinho AS Roma

Tammy amfuata Morinho AS Roma

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji Tammy Abraham amemwaga wino kuwatumikia watoto wa Papa klabu ya soka ya AS Roma ya Italia kwa mktaba wa miaka mitano hadi 2026 kwa ada ya Euro milioni 40 kutoka Chelsea.

Katika mkataba wake kuna kipengele cha Chelsea kumnunua tena kwa euro milioni 80 itakapofika mwaka 2023 atkapokuwa namefikia nmisimu miwili katika klabu yake hiyo mpya.

Tammy amempisha Mbelgiji Romelu Lukaku aliyejiunga na Chelsea,na amechagua kujiunga na AS Roma baada ya kupigiwa simu na Jose Mourinho na kushawishiwa kwenye mradi mpya wa mabingwa hao wa zamani wa Italia.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited