Home Makala TCRA Yaifungia Wasafi Tv

TCRA Yaifungia Wasafi Tv

by Sports Leo
0 comments

Mamlaka ya mawasiliano Tanzania(Tcra) imeifungia Televisheni ya Wasafi Tv kwa muda wa miezi sita kutokana na kukiuka maadili ya utangazaji kwa kuonyesha picha za maudhui yasiyofaa kupitia kipindi cha Tumewasha Live Concert.

Katika barua iliyotolewa na Mamlaka hiyo imeonyesha kwamba Televisheni hiyo iliruhusu msanii Gift Stanford maarufu kama Gigy Money kufanya show huku akiwa amevaa mavazi yanayodharirisha utu wa mwanamke.

Televisheni hiyo imefungiwa kuanzia leo huku ikitakiwa kuitumia siku ya leo kuomba radhi kwa watazamaji wa Tv hiyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited