Home Makala TFF yatangaza tenda ngao ya hisani

TFF yatangaza tenda ngao ya hisani

by Sports Leo
0 comments

Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) limetangaza tenda ya kurusha matangazo ya mechi ya ngao ya hisni kati ya Simba na Yanga kwa njia ya redio na televisheni.

Mchezo huo unatarajiwa kufanyika tarehe 25 Septemba 2021 uwanja wa Benjemin Mkapa jijini Dar es salaam.

Taarifa hiyo imetolewa na TFF kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo mwisho wa kuwasilisha maobi ni tarehe 31 Agosti 2021 saa nne asubuhi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited