Michezo ya Tokyo Olympics 2020 imefunguliwa rasmi hii kwa kuwashwa kwa mwenge kuashiria kuanza kwa mashindano hayo makubwa duniani.
Mwnge wa Olympiki umewashwa na mchezaji nyota wa tenisis duniani kutoka Japani Naomi Osaka.
Michezo hiyo ilipangwa kufanyika mwaka 2020 ilisogezwa mbele kutokana na changamoto za ugonjwa wa Covid 19 kusababisha kufungwa kwa nchi mnyingi duniani.
Sherehe hizo za ufunguzi hazikuwa kama zile zilizozoeleka kutokana na kukosekana kwa mashabiki viwanjani kutokana na sheria za kupambana na Covid 19 nchini Japani huku wachache wakiwa mbalimbali na wachezaji wakionekana kuvaa barakao.