Home Makala Tottenham Wagoma kumuuza Eriksen

Tottenham Wagoma kumuuza Eriksen

by Dennis Msotwa
0 comments

Mchezaji wa Tottenham Christian Eriksen agomewa kuuzwa na uongozi wake katika timu ya Inter Milan kwa dau la pauni milioni 10 ambalo liliwekwa mezani na mabosi hao ili kupata saini ya mchezaji huyo.

Christian Eriksen mkataba wake unakaribia kufikia ukingoni lakini mabosi wa Tottenham hawajapata presha kwani wamekomaa na wanahitaji mara mbili ya dau hilo yaani pauni milioni 20 ndipo Inter Milan wafikiriwe kumpata nyota huyo.

Kocha wa Tottenham Jose Morurinho amesema kuwa endapo mchezaji huyo ataachiwa na kuwa mchezaji huru Eriksen alishawahi kumuambia matamanio yake ni kucheza ndani ya Real Madril na Barcelona hivyo lengo lake litakamilika  kwani anajiamini kuwa ni mchezaji bora.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited