Home Makala TPLB Waomba Radhi Kwa Kuisahau Yanga

TPLB Waomba Radhi Kwa Kuisahau Yanga

by Sports Leo
0 comments

Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Tanzania Stiven Mguto ameomba radhi wadau wa soka kwa kitendo cha kuisahau timu ya Yanga katika upangaji ratiba wa michezo ya ligi kuu wiki hii.

Timu zingine zimecheza katikati mwa wiki  huku Yanga ikiachwa wakati ina viporo vingi kuliko timu zingine.

“Ukikosea unasema nini? Samahani! Basi tunaomba tusamehewe kama binadamu tunakosea, lakini wakitaka kutumia kama fimbo kutuadhibu sawa”alisema Mguto.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited