Home Makala Tuchel Amrithi Lampard Chelsea

Tuchel Amrithi Lampard Chelsea

by Dennis Msotwa
0 comments

Klabu ya Chelsea imemuajiri kocha wa zamani wa klabu ya Paris st.German Thomas Tuchel kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo akichukua nafasi ya Frank Lampard aliyetimuliwa klabuni hapo siku ya januari 25.

Tuchel alitimuliwa na Psg na nafasi yake kuzibwa na Mauricio Pochetino amesaini kandarasi ya mwaka mmoja na nusu ukiwa na kipengele cha kuongeza mwaka zaidi kuifundisha timu hiyo inayoshika nafasi ya tisa katika msimamo wa ligi kuu nchini Uingereza.

“Ninafurahi kuwa hapa na nina amini nitaonyesha ushirikiano ndani ya timu, pia ninaheshimu ambacho amekifanya Lampard kwa kuwa amefanya jambo kubwa na kazi yake ni nzuri,” .Alisema Tuchel

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited