Home Makala Ubaguzi Rangi Wamkosesha Nguvu Zaha

Ubaguzi Rangi Wamkosesha Nguvu Zaha

by Sports Leo
0 comments

Nyota anayekipiga ndani ya klabu ya Crystal Palace,Wilfried Zaha amesema kuwa amepokea jumbe mbili ambazo zinaeleza kuhusu ubaguzi wa rangi wakati wa kuifuata Aston Villa mchezo wa Ligi Kuu England Leo Julai 12, anakokipiga Mbwana Samatta.

Mshambuliaji huyo amesema kuwa alipokea meseji mbili ambazo zilikuwa zinambagua kutokana na rangi yake jambo lililompotezea furaha.

“Nilipokea meseji mbili ambazo zote zilikuwa zinasema kwamba sitafunga mbele ya Aston Villa kwa kuwa rangi ni nyeusi jambo ambalo sijalipenda na ni mbaya kwangu na dunia,”alisema Zaha.

banner

Uongozi wa Premier league umesema kuwa kwa sasa unafanyia uchunguzi suala hilo na kama litagundulika kuwa ni kweli basi hatua zitachukuliwa.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited