Home Makala Urejeo Wa Hazard Umeleta Matumaini Madrid

Urejeo Wa Hazard Umeleta Matumaini Madrid

by Dennis Msotwa
0 comments

Eden Hazard ambaye ni staa wa Real Madrid ameanza mazoezi uwanjani baada ya kuwa nje mda mrefu kutokana na kuuguza majeraha.

Staa huyo alianza mazoezi rasmi siku ya Jumanne akiwa na majeruhi mwenzake Marcos Asensio ambae kwa mda mrefu pia hakuwa uwanjani huku wakiwa wamevaa viatu maalumu vya kuwazuia wasijitoneshe.

Hazard na Marcos walikosa mechi kadhaa ikiemo ligi ya mabingwa Ulaya,Spanish Super Cup na La Liga.

banner

Kocha mkuu wa Madrid Zinedine Zidane amepata furaha sana kwani atapata nguvu kuelekea mechi zake zijazo za ligi ya mabingwa na La Liga.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited