Home Makala Vinicius Atua Benfica Kwa Mkopo

Vinicius Atua Benfica Kwa Mkopo

by Sports Leo
0 comments

Tottenham Hotspurs wamejinasia huduma ya mshambuliaji wa Benfica ya ligi kuu Ureno, Carlos Vinicius kwa mkopo wa mwaka mmoja.

Vinicius ambaye ni raia wa Brazil ameondoka Benfica akiwa amewafungia jumla ya mabao 24 msimu ulioisha wa ligi kuu Ureno 2019/2020.

Kocha mkuu wa Spurs,Jose Mourinho ana matumaini makubwa kwa Vanicius japo itawalazimu kuweka bilioni 5.7 ili kurasimisha uhamisho wa mshambuliaji huyo hadi kambini mwao kwa mkataba wa kudumu mwishoni mwa msimu huu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited