Virgil Van Dijik ni mchezaji wa soka wa Uholanzi anayeichezea klabu ya ligi kuu ya Uingereza Liverpool F.C
Pia anacheza ndani ya timu ya Taifa ya Uholanzi kama beki wa nyuma, alijiunga na Liverpool mnamo tarehe 1 Januari 2018.
Mchezaji huyo amesifiwa kuwa mchezaji mzuri zaidi katika nafasi yake ya ulinzi katika historia ya ligi kuu Uingereza kwa mujibu wa mchezaji wa zamani wa Arsenal Martin Keown.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.