Home Makala Waziri Mchezaji Bora VPL

Waziri Mchezaji Bora VPL

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji mpya wa Yanga Sc,Waziri Junior amechaguliwa kuwa mchezaji bora mwezi Julai wa ligi kuu ya Vodacom (VPL), msimu wa 2019/20 ndani ya klabu yake aliyokuwa akiitumikia hapo awali ya Mbao Fc.

Wazir alitupia jumla ya mabao matano kwenye mechi tano za mwezi Julai ambayo yaliipa nafasi timu yake kujitoa kwenye nafasi ya 19 mpaka kufika nafasi ya 16 ikiwa na pointi 45.

Nafasi hiyo iliwapa Mbao FC kucheza mchezo wa Playoffs dhidi ya Ihefu ambao waliibuka wababe wa Mbao kwa kuishusha timu hiyo daraja huku Ihefu ikiwa na tiketi ya kushiriki ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2020/21.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited