Klabu ya Petro de Luanda imepanga kusitisha mkataba wa winga , Deivi Gilberto, aliyejiunga na klabu hiyo kwa mkopo kutoka Orlando Pirates kutokana na mchezaji huyo kuwa utovu wa nidhamu klabuni hapo na kushindwa kuitumikia Petro de Luanda kwa usahihi.
Yanga sc ni miongoni mwa klabu ambayo ilikuwa inatajwa kuhitaji saini ya winga huyo , mpaka wakati hii tayari Yanga wameshamalizana na Mshambuliaji wao Musonda ambae hatakuwa sehemu ya Kikosi hicho msimu ujao hivyo taarifa zinaripoti kuwa nafasi yake atachukua winga huyo.