Taarifa kutoka Yanga sc zinaeleza kwamba mazungumzo na Kocha Rulani Mokwena kujiunga na klabu hiyo yanaendelea vizuri ambapo kocha huyo ametoa masharti mbalimbali ili kukubali kujiunga na klabu hiyo. Hata …
Yanga sc
-
-
Kipa mkongwe Aishi Manula yupo mbioni kujiunga na klabu ya Yanga Sc kwa ajili ya msimu ujao wa ligi kuu na michuano ya Kimataifa baada ya makubaliano ya pande zote …
-
Mshambuliaji wa klabu ya Yanga sc Clement Mzize amepata ofa nono ya kujiunga na klabu ya Zamaleck Fc ya nchini Misri kujiunga na klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu. Ofa …
-
Uongozi wa Klabu ya Yanga Sc umethibitisha kwamba kiungo mshambuliaji wao, Stephine Aziz Ki atajiunga na klabu ya Wydad Casablanca baada ya klabu hiyo kumalizana na Yanga sc kwa dau …
-
Klabu ya Yanga sc imefanikiwa kufuzu hatua ya fainali ya michuano ya kombe la Shirikisho la Crdb nchini baada ya kuifunga klabu ya Jkt Tanzania kwa mabao 2-0 katika mchezo …
-
Kikosi cha klabu ya Yanga Sc kimeanza safari leo Mei 16Â kuelekea Mkoani Tanga leo Asubuhi Mei 16 , 2025 na tayari kimewasili mchana huu kwa ajili ya mchezo wao …
-
Klabu ya Petro de Luanda imepanga kusitisha mkataba wa winga , Deivi Gilberto, aliyejiunga na klabu hiyo kwa mkopo kutoka Orlando Pirates kutokana na mchezaji huyo kuwa utovu wa nidhamu …
-
Timu ya soka ya Yanga sc imeendelea kujiimarisha kileleni mwa msimamo wa ligi kuu ya Nbc nchini baada ya kuifunga timu ya Namungo Fc kwa mabao 3-0 katika mchezo wa …
-
Klabu ya Yanga Sc kesho wanatarajiwa kuingia dimbani kuwania alama tatu muhimu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Nbc dhidi ya klab ya Namungo Fc mchezo utakaofanyika katika uwanja wa …
-
Bodi ya ligi kuu nchini (Tplb) imesema kuwa bado inafanya uchunguzi juu ya vitendo vya rushwa na ukosefu wa usalama vilivyopelekea kuahirishwa kwa mchezo baina ya Yanga sc dhidi ya …