Home Makala Yanga sc Watingisha Dodoma

Yanga sc Watingisha Dodoma

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga sc imelitingisha jiji la Dodoma baada ya kutua asubuhi ya leo na moja kwa moja kuelekea bungeni ambapo walikaribishwa kwa shangwe na wabunge mashabiki wa klabu hiyo.

Yanga sc ambao ni mabingwa mara 27 wa ligi kuu Tanzania bara wameingia jijini Dodoma kuelekea mchezo wa kesho wa ligi kuu dhidi ya Jkt Tanzania ambapo baada ya mchezo huo wataelekea mjini Shinyanga kuwavaa Mwadui Fc katika mchezo wa kombe la Fa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited