Home Makala Yanga SC yaongoza idadi mashabiki na mapato 2020/2021

Yanga SC yaongoza idadi mashabiki na mapato 2020/2021

by Sports Leo
0 comments

Mabingwa wa kihistoria nchini Yanga SC imetajwa kushika nafasi ya kwanza kwa timu za ligi kuu ya soka Tanzania Bara na ligi daraja la kwanza zilizoingiza mashabiki wengi viwanjani kwa msimu uliopita wa 2020/2021 kwa mujibu wa bodi ya ligi.

Licha ya kutochukua ubingwa wa ligi kuu au ule wa kombe la shirikisho la azam kwa miaka minne lakini bado Wananchi wameendelea kujitokeza kwa wingi viwanjani kuiunga mkono timu yao kila inapocheza katika uwanja wake wa nyumbani wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam pamoja na pale inapokwenda mikoani.

Mabingwa wa ligi hiyo Simba SC wanashika nafasi ya pili katika orodha hiyo inayoonesha vilabu ishirini vilivyoingiza mashabiki wengi viwanjani kwa ligi kuu na ligi daraja la kwanza.

banner

Orodha kamili;

 

Yanga pia imeongoza kwa mapata ya viwanjani ikijikusanyia zaidi ya milioni 980 za Kitanzania,orodha ni kama ifuatavyo

 

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited