Home Makala Yanga Waituliza Alliance

Yanga Waituliza Alliance

by Sports Leo
0 comments

Mabao ya Patrick Sibomana na David Molinga yalitosha kuipa ushindi Yanga katika mchezo wa ligi kuu nchini dhidi ya Alliance uliofanyika katika uwanja wa Ccm Kirumba Mwanza.

Mabao ya dakika za 25 na 69 yalipatikana baada ya mabeki wa Alliance kufanya uzembe ambapo Waliruhusu Sibomana kupiga shuti kwa guu la kushoto huku pia wakimruhusu Kaseke kuingia na mpira kwenye boksi na kumpasia Molinga ambaye aligeuka na kufunga.

Alliance walipata bao la kufutia machozi kutokana na uzembe wa kipa Farouk Shikalo na mabeki wa Yanga waliomruhu Juma Nyangi kupiga shuti kali.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited