Home Makala Yanga Washusha Mashine Kutoka Benfica

Yanga Washusha Mashine Kutoka Benfica

by Sports Leo
0 comments

Timu ya wananchi Yanga leo imemshusha Bongo Carraca Antonio Domingoz Pinto ambaye alikuwa mtendaji Mkuu  wa klabu ya Ureno Benfica kwa miaka 10 ili kuanza kazi ya kushauri kueleka mabadiliko ya kimfumo ya uendeshaji wa klabu.

Nguli huyo wa mfumo wa soka la kisasa ameletwa kwa hisani kubwa ya kampuni ya Gsm ambao ni wadhamini wakubwa wa Yanga sc.

Carraca Antonio amepokelewa leo  uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere na Makamu Mwenyekiti wa Yanga Fredrick Mwakalebela na Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM Mhandisi Hersi Said.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited