Home Makala Zahera Aikomalia Yanga

Zahera Aikomalia Yanga

by Sports Leo
0 comments

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga Mwinyi Zahera ametoa muda wa wiki moja kwa uongozi wa Yanga kumlipa stahiki zake,Zahera aliyerejea nchini wiki iliyopita ametishia kwenda kushitaki FIFA kama hatakamilishiwa malipo yake

Mkongomani huyo kwa sasa yuko nchini kwa takribani wiki ya pili ambapo ametishia kuwa atapeleka malalamiko FIFA na Yanga italazimika kumlipa hata gharama anazotumia sasa wakati akisubiri kulipwa stahiki zake.

Makamu Mwenyekiti wa Yanga Fredrick Mwakalebela amemtaka Zahera kuwa na subira kwani atalipwa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited