Home Masumbwi Joshua,Luiz Kukipiga Uarabuni

Joshua,Luiz Kukipiga Uarabuni

by Dennis Msotwa
0 comments

Bondia Athony Joshua na mpinzani wake Andy Luiz wanatarajiwa kupigana kwa mara ya pili mwezi disemba nchini Saudi Arabia baada ya tambo za muda mrefu.

Mabondia hao ambao katika pambano la awali lililofanyika nchini Marekani mwezi juni mwaka huu ambapo Luiz alivunja rekodi ya kutopigwa ya Joshua baada ya kumpiga katika pambano hilo huku akimuangusha chini mara nne tofauti.

Joshua mwenye rekod nzuri ya mapambano ana kazi ya kurejesha taji hilo katika mpambano huo utakaofanyika disemba 7 nchini Saudia Arabia.

banner

Pambano hilo imeamuliwa kufanyika nchini humo baada ya kila bondia kuhitaji pambano lifanyike nchini kwake hali iliyopelekea kutafutwa kwa eneo ambalo halifungamani na upande wowote.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited